MARAFIKI WA ELIMU GEITA WATOA MSAADA KWA WATOTO
WANAOLELEWA NA KITUO CHA BRIGHTLIGHT ORGANIZATION


katika salamu na shukrani kwa watoto hao waliomba pia washirika na wadau wengine kuwatembelea ili kuweza kujua mahitaji yao ambapo ni pamoja na upatikanaji wa matibabu ya uhakikaka ili kutunza afya zao.
pia uongozi wa kituo hicho cha Brightlight kilitoa shukrani nyingi kwa uongozi na wajumbe wote wa asasi ya Marafiki wa Elimu Geita (FENG) kwa kuguswa kwa hali moja hadi nyingine na kukubali kushiriki pamoja na watoto hao katika chakula pamoja na msaada wao waliotoa
MARAFIKI WA ELIMU GEITA
+255742 354 689
marafikiwaelimugeita@gmail.com
nyuma ya msikiti wa Ijumaa
tunatazamana na Storm FM redio
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni