Kurasa

Jumanne, 12 Mei 2015

marafiki wa elimu geita wajengewa uwezo

kutoka Geita marafiki wa elimu wamefanikiwa kupewa mafunzo na mbinu mpya za kukuza na kuendeleza harakati zao kwa ufanisi
mafunzo hayo yalitolewa hivi karibuni na timu ya wafanyakazi toka shirika la HAKI ELIMU  washiriki wa mkutano huo ambao ni wadau wa elimu wMeanza kuchukua hatua za makusudi zenye lengo la kujiimarisha kuleta mabadiliko ya elimu  katika wilaya ya geita mjini na vijijini 
mtandao huo ma marafiki unaoongoza na rafiki wa elimu Ayubu Bwanamadi tayari umeanza kwa kujitengenezea uongozi na kisha  hivi karibuni watajikita katika shughuli za kijamii zikiwa na lengo la kuhamasisha mabadiliko ya elimu na kuifanikisha Geita kuwa mji utakao zalisha watoto walioelimika
picha chache hapo chini zinaonyesha matukio ya mkutano huo 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni